hao jamaa wabishi mi nina 4.25 firmware ni ngumu ku i hack bila E flash, wanabisha bila kufanya utafiti,nipe mawasiliano yako mdau,emmanuelmvunye@yahoo.com au nichek 0717924625
wakuu mnaweza nicheck kwa email:emmanuelmvunye@yahoo.com, pia unaweza suggest collection yako nitacheck bei ,usafiri na ushuru then nitakujulisha,mi napatikana dar,maeneo y kawe nina goili la playstation 3,hizo blue ray dvd za game ninazo na nina connection ya kuagiza...
Tuwasiliane kwa sasa nina game zifuatazo ila ukihitaji zaidi unaweza specify nikakuletea zinatoka uk fifa 2013 Tsh 160000 bland new released on 28 september gta 4 50000 avata 40000 call of...
wadau nina collection za game za ps3 na xbox 360 zile top game,tatito ni console yangu ps3 fat model imezingua tatizo liitwalo yload linalosababishwa na motherboard kupata joto,kama ukihitaji blu-ray dvd game za sony ps3 nichek pia xbox 360, HIYO SLIM NAIHITAJI FASTA KAMA IPO NIMEFUNGA GOLI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.