Nimenunua Kiwanja, naomba kujua utaratibu wa kufanya transfers, Maana kuna jamaa angu amefanya transfers lakini jamaa anamzungusha kumpa risiti zake za hayo malipo.
kwa upande wa makampuni ya vinywaji, glass huwa zina faida sana kuliko Takeaway. ndo maana inakua ngumu kuachilia, kwa sababu cost ya uzalishaji kwa takeaway ni kubwa sana kulinganisha na chupa/kioo. kwa mfano kama kampuni ikinunua glass kutoka kioo Ltd, yaani mzunguko wa kwanza tu kuingizwa...
jaribu kuwatafuta salesman wa makampuni ya soda kama Coca/pespsi/mo/azam. sasa inategemea ww upo sehemu gani. ila wafanyabiashara wengi wanafunga depot zao, kwani biashara hii huwa inakua na target za kila mwezi, hivyo inategemea na achievment yako huwa wanatoa incentives. ni biashara ambayo...
Habar wanajamii,
Kwa mwenye ufahamu wa sheria inayohusiana na Financial guarantor, kwa mtu ambaye tayar amesha ajiriwa na tayar alisha saini mkataba wa kudumu wa kudumu kwa takrbani miaka zaidi ya minne, kisha mwajili akatoa Financial guarantor ukamilishe ndani ya siku tisa, pia fomu hiyo ina...
Aisee,ni kweli kabisa.kuna mtu sura kama hyo,alinipa kazi, yeye ana ofisi yake mambo ya real estate,akipata fedha ni mtu wa mambo makubwa,kula runch hotel kubwa kubwa.mwisho wa siku nikaacha kazi,kumbe ni mtu wa dogodogo.kazi zake nyingi anategemea commission.sura mulemule.
mkuu SAP ni pana sana,sasa sema ni mambo gani unayajua zaidi,kwa sababu kuna FICO(financial and Contolling),SD (sales distribution),MM(materila Management),CRM,SCM,PP na modules nyingine nyingi sana.mimi kwa upande wangu nina ujuzi wa EPICOR,especially 9 katika Financial modules na Inventory...
Habari wanajamii, naomba kuuliza mahali napoweza kujifunza SAP accounting software kwa Dar es salaam,nataka kujifunza pamoja na kufanya mitihani yake ili niweze kupata Cheti chake
Kwa ukweli kabisa toka moyoni, hiyo ni facts kabisa.vijana zingatieni haya. Tena ninavyowaambia sasa hivi Tanzania kama mchezo wa mazinga ombwe.ukiona manyoya kashaliwa.hakika utajua kwa nini noti ni fedha halali kwa malipo ya...?na sio sarafu.hv hamjiulizi kwa nini sarafu za silver hununui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.