Wale wanaolaumu watu wale wanaotilia shaka mashtaka dhidi ya Mbowe, kwamba wao wanaamini serikali na jeshi la polisi ni watakatifu sana na hawajawahi kubambikia watu kesi, wakumbuke kuwa huyu huyu wanayehangaika naye walishampa kesi ya Aqulina na akashinda. Kama hali ndiyo hii, kwanini...
Jamani mwenzenu nusuru yanipate hapa Bongo. Nilikutana na dalali aliyekuwa ananiunganishia na muuza pikipiki maeneo ya Mikocheni. Alidai kuwa pikipiki atakayoniuzia ni mpya, nzuri na haijatumika sana, na bei yake ni sawa na bure na ina vibali vyote.
Nilikuwa na uhitaji nayo kwa kweli, hivyo...
Mdee na Covid wenzake wamepiga rufaa kuomba kurejeshewa uanachama wao. Yeye mwenyewe ameweka bayana kuwa uanachama wake alionao kwa sasa ni uanachama wa hiyari tu. Chama kimesema hakina aina hiyo ya uanachama.
Covid wanaomba kurudishiwa uanachama. Maana yake hawa si wanachama kwa Sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.