Sawa mdau.. Toka nitoe hili tangazo wamechukuliwa kwelikweli.. Kwasasa wamebaki nguruwe 7 tu, majike mawili unaweza pandisha kuanzia mwezi 12/january jike moja lina mimba linazaa siku yeyote ndan ya mwezi huu wa kumi, madume mawili yamehasiwa unanepesha mwezi 12/1 utaweza kuyauza.na madume...
Nnauza Nguruwe wadogo Kwa wingi kuanzia watano au zaidi. Hasa kwa wale wanao taka kufuga Wapo kati ya miezi 4,5 na 6. Bei tunaelewana. Napatikana Hombolo Dodoma. Tuwasiliane 0789656265
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.