Haikuwa mahala pake tena nasikia alifanya hivyo baada ya gavana na viongozi wote kuondoka. Michuzi blog kasema wakati dr.Shein anaongea Wazimbabwe wakapandisha sauti zao.nae angefikisha ujumbe wakati huo.
kwangu mimi Kitila Mkumbo (Asha Abdala) ni mnafiki tu.
Umeshamfungia huna haja ya kuandika hili tena kwani hawezi kujitetea,lakini bi senti 50 kasema mambo ya ngono umemuacha huo ndio uonezi wa JF?
kifimbo umemfungia miezi mingapi? kwa kosa lipi?
Unaweza kubadili jina lako? wenzako wengi wamebadili. kama fikira duni n.k
kinepi nepi kwangu mimi naona kama mtu ambaye muda mwingi unaharisha hivyo kupunguza uwezo wako wa kufikiri.
samahani ni ushauri tu.
Wapizani wa nini cha maana? Mbona walikaa kimya wakati Mkapa anachukua Kiwira, wamefanya lipi la Maana kuona pesa za Epa Zinapatikana?
Mwakyembe na kamati zingine za wana CCM ndio zinachapa kazi.wapinzani wako kwenye usingizi labda CUF. kama Chadema ni kijiwe cha wahuni tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.