Heshima kwenu!
Naomba kujua wapi naweza kupata hard tonneau cover / bed cover ya Nissan Hardbody (Double Cab). Mwenye nao au anayejua wapi naweza kuupata tafadhali.
Ninamaanisha mfuniko wa bodi kama inavyoonekana pichani. Picha hii ni kwa ajili ya kuonesha ninachokihitaji - aina ya gari ni...
You may be right, but as long as its values is still there and the program can improve the working condition of our you youths (i.e. Help them to have descent employment) then we are not late.
Good observation. But what should we do? Tukae tusipige hatua hii muhimu kwa kuhofia kikwazo hiki ambacho kwa miaka mingi kimeiathiri sana jamii yetu ? HAPANA!
Ni jukumu la kila mmoja kuunga mkono juhudi za serikali katika kupambana na huyo mdudu "rushwa" kwa nguvu, akili na uwezo weto...
Tukiweka mbali excuses na politics (ambazo kwa zama tulizonazo siamini kama zina nafasi) ukweli unabaki kuwa Tanesco kigamboni kunashida kubwa! Haiwezekani kilometre 11 kutoka mlipo (kisarawe 2) hakuna umeme miaka yote na bado kila mkifuatwa ni blah blah zisizo na maana. Nafikiri mlipaswa...
Nyumba inauzwa maeneo ya ituha (Mbeya Mjini). Si umbali mrefu kutoka inapoishia rami.(Unaingulia Sae). Ina vyumba vitatu vya kulala (kimoja kati ya hivyo ni self), Ina sitting room, dinning room, kitchen na public toilet. Ina talies. Ceiling board imewekwa sebuleni.
Ina umeme na maji yapo...
Mkuu Mudawote sio fununu... ni kweli wewe na mwenza wako ni watanzania. So fununu zako ni kweli. Ninachoweza kuwashauri watanzania wa namna yako ni kuwa kabla ya kujiita kamanda ulipaswa kujua unapambana na nini.... Mtu au mfumo? Pia ulipaswa ujue hali ngumu waliyonayo watanzania imetokana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.