Inakuwa ngumu kuingia kichwani kwamba ni nini hasa kinachochelewesha post za ualimu kwa maana wizara ya elimu walishatoa na takwimu za idadi kamili ya walimu iliyowaajiri mwaka huu ambayo ni 28746!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.