nimefuatilia na kugundua kuwa hawa jamaa kuna uwezekano ndege zao/yao ni mbovu ila wanaforce itembee haiwezekani katika kipindi cha miezi mitatu delay kama hii imeshatokea zaidi ya mara tatu na bado wahusika wanatumia the same excuse kila siku. Mamlaka husika nashauri zianze kufuatilia kwa...
Ni jambo zuri sana mh. mkuu wa mkoa analifanya. Mimi nina mtazamo tofauti kuhusu hili suala sababu vyombo vya ulinzi na usalama kila mwaka vinapangiwa bajeti ingekuwa vizuri fedha zao za bajeti ndio zikatumika kutengeneza haya magari na Mkuu wetu wa mkoa akafanya mambo ambayo yanawagusa wananchi...
kwa hiyo kwa akili yako ilivyo uko tayari kuifanya shida yako isubiri hiyo saa 1 ama 72 kama unavyosema? Muda mwingine ni bora kukaa kimya kuliko kujifanya kimbelembele katika mambo ambayo yanagusa maisha ya watu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.