Ubarikiwe #Professor umeniwezesha kupata rasmu ya ll na katiba pendekezwa ngoja nisome neno kwa neno maana hawa jamaa hawataki kutoa tujisomee mapema wanataka kutupiga kaunta ataki.
Pole pole kanifanya niitafute rasmu ya time na katiba pendekezwa nizisome kwa pamoja. Mwenye link zake tafadhali anipatie maana na search naletewa mihitasari tu wakati wanakabidhi. Pole pole ni jembe.
Mi nilijiunga nao tatizpouuhabawa product ukanipotezea wateja, nilikaa karibu mwezi mzima kiongozi wangu anadai no product makao makuu.Hela yangu iliniuma sana maana nilikusa najipiga ganji ili nilipie/ nijiunge. Ila product zao ni nzuri.
Hiv Zanj kuna wasomi wachache wa kikristu wanaopenda siasa ama tatzo ni nn? Angalia majna yote isipokuwa wa category ya din wengne din 1, pia serikal yao hivyox2, aaagh...achen hzo.
Dokt, kwanza heri ya mwaka mpya. Kuna jamaa yangu wa karibu sana ana mke wake zaidi ya miaka 4 sasa, mwezi ulopita walienda clinic wakaambiwa kupima HIV matokeo yakaonesha wife ni anao na jamaa hana, kaambiwa arudi baada ya wiki 3 alipoenda kuchek tena majbu yakaonesha kuwa hana. Sasa hapo Dokt...
Mwanafunzi anaingia na alama 40, tayar ameshafaulu. Dah, sijui nirudie mtihani!!?? Kweli hii wizara full majanga kisa big result now! Tafadhalin sana boreshen mazingira ya kujifunza na kujifunzia hzo A zitakuja tu.
Na mwaka huu mnalo, mjeshi hatakiwi kugoma, kozi walokupangia ndo hyo hyo uisome hakuna kuhoji wala kugoma; maandano ndo hayatakiwi kabisa we komaa tu.:majani7:
Jina Tanganyika hawajaltaja, wanasema serikal tatu yaani Zanzibar, shirikisho na Tanzania bara. Viti maalum wanapigwa ban, wabunge bara ni 60! Na zenj ni 25! Wakuteuliwa na rais 5! Kwel?
Siyo yeye, ni washauri wake akina Kawambwa & co akiwemo Mwigulu Nchemba. Hajui kwamba kwa kuwaleta hao jamaa walimu wazawa watazidi kukata tamaa! Kwa nin asiwaboreshee mazingira walimu wetu japo kidogo tu kuwaongezea morali! Ukichek matokeo ya f4 upande wa sayansi wameyachakachua vzr, tatzo f6...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.