CHADEMA waliumia sana Makonda alipopewa Uenezi. Wakaungana na wahuni kujenga presha atolewe ili wapumue. Jamaa alijua kupiga home and away. Chama cha hoja act wazalendo nacho ndio ivyo Tena 😁 😁
Jana ACT Wazalendo imezindua nembo Mpya ya Chama katika kusherekea miaka 10. Lakini Mwenyekiti wake Othman Masoud Othman alimaarudu OMO hakuwepo ukumbini, Jussa ambae ni Makamu Mwenyekiti upande za Zanzibar (mhafidhina) hakuwepo ukumbini.
Je, ACT Wazalendo Bara na Visiwani Kila mtu kaamua...
Pasaka imeenda
Ramadhan imekwisha
Sasa turudi kwenye ujenzi wa Taifa. Kuna waliokuwa wanafanya mashindano kulisha iftar, iftar ilikuwa sio Ibada Tena bali mashindano.
Uvaaji wa Baragashia na kanzu ukawa fasheni kwa haraka haraka ungeingia tanzania kama huijui ungesema upo kwenye Taifa la ki...
Kwanza Hongera kwa kuvaa viatu vya mtangulizi wako Paul Makonda.
Lakini tathimini fupi kwenye mitandao ya kijamii baada ya uteuzi wako, Kizazi Kipya cha Wapiga kura (Watoto wa 2000) wengi wanakutilia mashaka kama utakidhi matakwa ya Siasa za kileo. Una kazi kuwa prove wrong.
Kila lakheri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.