Hao wote wanaohusika inaonekana hawakuliona hilo hapo mwanzoni, lakini dunia inakoelekea sasa, ndio wameshtuka! Pia ni uzembe tu wa idara ya usalama wa taifa (TISS). Walitakiwa wapinge mapema hilo, lakini sijui walikuwa wapi. Huwezi kujanga majengo marefu karibu na ikulu.
"With the...
Tanzania's Presidential Protection Unit (PPU)?
Uganda wana PPU, wana ISO (Internal Security Organisation) ya usalama wa ndani na wana ESO (External Security Organisation) kazi zao ni ujasusi.
Kenya wana NSIS (National Security Intelligence Service) Hii ina idara kubwa mbili. Ya ndani na ya...
Bakari Kitwana si Mtanzania. Ni matunda ya "Civil Rights Movement" za miaka ya 60 na 70. Jamaa zetu wenye mwelekeo wa siasa kali kama vile "Black Pathers" waliamua kuchukua majina ya Kiafrika na kuasili Kiswahili kama lugha yao, kwa kuwa majina ya Kizungu na Kiingereza kwao ilikuwa ni vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.