Iliwahi kunitokea pia. Mimi nilianguka nikapigiza kichwa though sikuanguka vibaya..
Mke wangu alinisikia nikikoroma, akaja kanikuta chini.
Nilikua naona kama naota kama kizungu zungu hivi..
Ilikua immediately baada ya haja ndogo...
Nilienda hospital moja kubwa kuchunguzwa, nikaanza na...
Mwanakijiji, tatizo Dr Slaa, anaonekana kumwongelea Lowasa peke yake. Jana alivyoambiwa kuongelea ufisadi, alionekana kuegemea upande mmoja tu na kuonekana kumsifia Magufuli.
Swali nalofikiri, kwa nini Dr Slaa asingemkatalia Gwajima in the first place? Kwa nini alimuanganisha Gwajima na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.