Mkuu sema serikali irudishe posho ya walimu. Hii posho ilikuwapo enzi za mh. Ally Hassan Mwinyi ila ikaondolewa na Mkapa. Ilikuwa inaitwa teaching allowance na ni 50% ya basic salary.
Mambo mengine ni kuendeleza ujinga tu. Yani PS na Mkurugenzi wake ni wakushtaki kwa waziri kweli? Hao unaowaona wewe mwenyewe uso kwa uso na issue inaisha. Wasikutishe kwa chochote.
Mkuu acha utani basi. Kwamba umejaribu kujiua imeshindikana! Hii siyo kweli. Mtu ukidhamiria kujiua ni sekunde chache tu shughuli inaisha.Wewe sema tu umepata changamoto ktk maisha hivyo unaomba msaada ili ujikwamue usiipe uzito hiyo changamoto na jaribio feki la kujiua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.