Na mwaka huu chuoni ni mwezi wa ngapi maana form six wanamaliza mitihani yao mwisho wa mwezi wa tano ambapo kikawaida ndo muda wa matokeo kwa ratiba ya zamani. Mwenye uelewa tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.