ROMA deserved dat award,he made it bt wabongo kwa majungu eti alistahili kupewa FID Q ulipiga kura au mbwembwe za mdogo 2.......Kip it up ROMA n neva giv up 2nakupenda na hongera kwa ushindi
:lol::lol:KAZI IPO!
Uccheze na nguvu ya ummma suibiri marudio ya uchaguzi itafaamika na MAGWANDWA watapata aibu tripple naona ARUMERU hapajawapa somo mpk sasa.
Abt jaji mmmmh km ndo hvyo nawaachia wanawachuga,,vjana wanaumia waliopiga kura zao kwa LEMA we2
Thanx!God kasikia maombi ya wapenda haki km mi2!
Hongera kaka!
Cha mno waliokuchafua washtakiwe coz 2mekumic sanaaa ucku wa habari ulikuwa unabang mbaya!
Mi natokea Mwz-Igoma ingawa nko Dar nw
Nape anatakiwa achunge bora huko magomen kirumba alizomewa sa Igoma na action,amuulize MASHA alitendwa ni2 kwenye compen zake mwaka jn Igoma
Diwan we2 wa Chadema kijana frm UDSM anavyopendwa na vjana sa lazma wamtende coz kavamia himaya ya CHADEMA
Nape...
Nape anajisumbua MWANZA NI NGOME YA CHADEMA FROM DIWAN MPK MAYOR
Utaona km ppo watajaa,mi wa Rock city mto2 wa Wenje CDM ye2 CCM bado sn kuteka mwz jisafishen kwanza ndo muende
Wamesema jamaa amekamatwa coz alisema kunamto2 mmoja wa kigogo aliwa2mia mapolice ili wacfungue mashina huko Atown
Ndo mana police wanamind na wakaanza kumsaka ili azbitishe kaul yake
Source.magazet ya leo asb
Ushaona 2015 watasema 2 Clouds fm jifanyen mko upande wa magamba ili ufichiwe mauvu na fiesta zenu
Bt mambo yakichange hakuna kushow birthday ya nan wala nan
Bora 2amie radio nyingine
KIBONDE SIASA UCHWARA UNAWEZA EEH
Kibonde nlikuwa napenda kipinda chako cha Jahaz bt baada ya kuanza kuponda wanafunz wa chuo nkaona kwel we 4m 4 yenye 4datz y
Yan we ni kiaz hak,kwel badala ya kupongeza 2naskiliza asb vpnd mapema vya Magic na wanadisc mambo muhimu we utahila 2
Ushanu2lia ckuiz unajifanya kupendelea magamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.