Samahani naomba nitoke nje ya mada kidogo japo wote tupo kwenye elimu. Nina mdogo wangu amemaliza form four na anapenda kusomea course za afya certificate but hajasoma Physics na Chemistry ila ada C,B na D za massomo mengine ikiwemo biology. Je ni course gani anaweza kusomea za afya?
Nataka na Mimi kujiunga apo niambie. Nataka anza certificate so nataka kujua gharama ya ada kwa mwaka mfumo Wa ulipaji na nimwez wangapi wanaanza,vigezo vya kujiunga na namna ya Ku apply
Nisaidie ndugu yangu
Habar naomba kujua gharama za certificate kwa course ya IT pale UDSM. pia vigezo Mimi nina D3 NA B1 katka mtihani Wa form 4. Pia natamani kujua jinsi ya Ku apply na wakati gani wanaaza au vyuo vinafunguliwa. Nisinge penda kujibiwa majibu mabaya maana ninahaja ya kujua munisaidie c na uzoefu...
Habar wana jamii forum mimi ni kijana wa miaka 2 2 nina zungumza kiswahili na kingereza vzur.ninaelimu ya form four Nina certificate ya computer, ant_coruption.takukuru.natafuta kazi yoyote ya shift ambayo nitakuwa na uhuru wa kuingia muda wowote.iwe ya kiwandani supermarket au popote...
ASANTE KWA USHIRIKIANO WAKO. Ila kaatambua kuwa elimu ya darasani haikufundishi kufaulu maisha ya mtaani wala elimu ya mtaani haikufanyi kufaulu darasani na so wote wenye hekima wana elimu au wote wenye elimu wana hekima.
Asante kwa mchango wako brother kidogo umejarbu kunielewa lengo langu na kutoa mchango wako angalau kinaga ubaga kuelimisha jamii yetu ndo lengo. Nahisi kunawatu hawajasoma point yangu ipo wapi katika hilo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.