Unataka Mheshimiwa Mnyika, atumie jukwaa lipi? Agenda ya CHADEMA ni kudai Tume huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya. Haya yakipatikana bila shaka taifa letu litaendeshwa vizuri. Na kila tamko litakalo tolewa na chama litaheshimika hadi serikalini.
Umesema kweli, watendaji wetu wa serikali, tume ya taifa ya uchaguzi, jeshi la polisi, mahakama za mwanzo, watendaji wa vijiji wameliangusha taifa kuliko wachezaji wa timu ya Taifa.
CCM, ilidhani inafanya mzaha tu, kumbe inapanda, inaweka mbolea, inamwagilia maji na kupalilia mbegu ya ubaguzi, bila gharama yake ni kubwa. Tunalo hilo.
Kama chama kina hali mbaya kama unavyosema, wewe unahangaishwa na nini? Kwa taarifa yako chadema kina nguvu na kinaaminika kwa watu kuliko wakati wa Dr. Slaa. Kama wewe ni mtaalam wa takwimu Dr. Slaa alipata kura ngapi ukizilinganisha na baada ya kuondoka kwwake? Kipindi cha Dr. Tulikuwa na...
Hoja ni AKIBA YA MANENO waliopelekewa msaada Zimbabwe, Malawi na Msumbiji wakisikia maneno yaliyosemwa Kagera, watatukamata uchawi. mimi huwa najiuliza kulikuwepo na sababu gani kuyasemwa yaliyosema kwa waathirika?
Elimu ninayoisema sio vyeti na wingi wa muda wa kukaa shuleni! Zamani katika Uhasibu wa NBAA ilikuwa ni lazima kabla ya kufanya mtihani wa uhasibu wa ngazi yeyote ile inayotambuliwa na NBAA ilikuwa ni lazima uthibitishe kuwa umefundishwa uhasibu na mtu anayetambuliwa na NBAA kwa saa zisizopungua...
Utambulisho wako na mchango wako vinaendana kabisa. Wateetzi wa wazawa wajibu kwa usahihi hoja hizo ulizoziweka na tuanzie hapo kutafuta suluhu. kabla ya hapo ni ukaburu tu.
Watu wenye akili zao wanapo dharau sughuli za kisiasa na kuachana nazo wanatoa nafasi ya kutawaliwa na watu wenye elimu ndogo. hebu fikiria Mkurugezi wa halmashauri anasimamaje hadharani kutetea sare za CCM? Zinaongeza nini, zinamsaidiaje kuboresha utendaji wake, zinawaleteaje maendeleo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.