Safi sana kwa Vicent Nyerere, ila inabidi apambane sana na ukiritimba wa wazee wa Musoma maana kwa majungu hawajambo hasa wazee wa mitaa ya IRINGO na MKENDO KATI ni noma.
Wote wanaosema ndo ubaya wa vyuo vya kata ungekuwa wewe ungevumilia? Kwa nn wasisitishe posho za hao wa mjengoni wawape wanafunzi pesa zao. Kama unanjaaa hakuna utachoelewa darasani ata ufanyeje.
Ni maisha magumu na hali mbaya za familia nyingi hapa nchini ndo inapelekea hali kama hiyo. Ni lini sirikali yetu hii itaona kuna umuhimu wa kuboresha maisha ya watanzania na kutoka katika wimbi hili la maisha jiwe.
safi sana kaka, ni lazima jeshi liwe na mafunzo mda wote sio likae tuu kama vitunguu ndani ya gunia. Mbona kozi wanazoenda askari wa kikosi cha ardhini na kosi nyingine hawajauliza zinagharamiwa na nani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.