Sasa! Kama hata kliniki mtoto wako anapelekwa, ina maana hata muda wa kuandaa lishe ya mtoto na kujua afya yake hufuatilii. Chukua muda wa kuandaa lishe ya mwanao, unategemea 'dadaa' ndo akufanyie kila kitu, nae pia anapenda kuboresha afya yake.
Hebu jitungie na wewe msiba wa kiongozi wako hapa Afrika ambaye historia na sehemu ya mafanikio ya ukombozi wa nchi yake imechangiwa na Tanzania. Acha hizo wewe.
Kuna watu humu jf wanaboa kweli. Hivi walitegemea kama Rais atoe hotuba gani nzuri kama hii.Lazima aeleze umuhimu wa Tanzania na Nyerere kwa Taifa huru la watu weusi wa Afrika Kusini. Aaaah... Acheni kubeza eti speech ndefu, lazima tuioneshe dunia jinsi gani tulivyojitoa zaidi ya muhanga kwa...
Mbona Mheshimiwa Rais wetu, JK yupo safi sana ktk kutuwakilisha kimataifa. Tatizo letu waTZ ni kukosoa na kuangalia wapi mtu atachemka.Charity begins at home.Good speech na kalitendea haki Taifa ktk msiba wa Madiba.
Hakuna upendeleo B.O.T jamani ni cv zako na kufaulu usaili wao tu! Basi unakula maisha pale. Ni chombo cha uma kwa watanzania wote, mimi naamini hivyo. (y).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.