school of law its expensive.. pengine ni moja ya sababu ya kutafuta kazi kwanza na pi hofu ya kushindwa kwakuwa sheria ni practise.. sio mbaya kama akipata ujuzi wa procedure zinavyokwenda then akijipanga aendelee sababu ni kweli s.o.l ni muhimu na ni lazima.
msaidieni panapowezekana lakini...
pole bwana, ww sio useless.. unafaida yako katika jamii ila tu bado haijaonekana.. usikate tamaa pambana kwa nguvu zako zote na akili zako zote.. ipo siku nuru yako itang'aa. Mungu akubariki.
habar wanajamvi,.. nimemaliza diploma ya sheria chuo cha uongozi wa mahakama mwaka 2014 huu. natafuta kazi yoyote itakayotaka vigezo vya diploma ya sheria. tafadhali naomba msaada wenu sana.
ingia hapa Parliament of Tanzania then shuka mpaka chini kabisa kwenye orodha ya Glossary na utaona neno ammendments, fungua na uandike Act yako, itakuletea majibu.
au nenda moja kwa moja hapa Parliament of Tanzania
safi sanaaaa wabaniaji wa hapa chuo wameisha ss... lakin unadhani hakuna altelnative ya yy kujua kuwa umemwibia vitu??? km vile program zingine za kukudaka au kukuzuia??? hembu fikiria na uchunguz hilo alafu ndo unijibu!!
nitumie optmizer gani bomba?? kwa toshiba win 7 ultmat... na key zake itasaidia zaidi.. au kama in crakika!!
naamini mabingwa wa humu ndani hakuna popote!!
nimejaribu hiyo zenix nikawa nafuata maelekezo kwa youtube yao lakini wakati wa kuifungua hiyo crack niliyodownload haikunipa matunda yoyote kama niliyokuwa nayategemea toutube yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.