Mimi pia wamentumia ila sina imani nao kwa vigezo vifuatavyo.
1. Wamesema watafungua ofisi Tanzania January2016 wakati huohuo semina itafanyika januari 5 ,2016, swali : kwanini semina isifanyike TZ na wakati tangazo lao la kazi walisema hii onawahusu was TZ tu na ni nafasi ziko 100. It means...
Mimi pia nimetumiwa hiyo email. Niko njia panda. Japo kweli niliapply. Kwanini wanatanguliza pesa? Semina bila interview? Tusaidiane atakae pata info za kuaminika. Mimi nilikua nawatafita Hadi nimekutana na ninyi huku
Nafafuta mtu wa kubadilishana wilaya ajira mpya. nimepangwa BUHIGWE-KIGOMA. Nataka kuja Morogoro Wilaya ya Mvomero, Morogoro vijijini, AU morogoro MV. MAWASILIANO 0784366703. Ishu za kufuatilia TAMISEMI mimi rahisi tu kufika niko karibu. WAHI TUOKOE MUDA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.