Watu wanatengeneza helkopta wanatengeneza magari lakin no support mfano masoud kipanya alitengeneza gari yake badala ya kumpa support wakamkejeli wale wazee kule iringa walitengeneza umeme kusaidia kijiji duuuh walipigwa vita tena na vitisho wakaacha
Yule jamaa pale songwe katengeneza helkopta...
Soma hiyo
JE WAJUA?
Kama ulikua hujui kuwa TANZANIA SIO NCHI MASIKINI ILA WATU WAKE NDIO MASIKINI wacha nikufahamishe""
WATU wengi huamini kuwa Tanzania ni nchi MASIKINI,
Lakini sio kweli Tanzania sio nchi MASIKINI,
Tanzania ni nchi tajiri tena zaidi ya MAREKANI,
Ila watu wake ndio MASIKINI...
Wale ni wahuni balaa saiv watu washashtuka hawaend kukopa kwao sasa wanawasukumia wateja walipe upya nao wapate kula yaan mgawane mshahara wako na wao
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wewe mwenyewe huna Upendo
Kama kweli unampenda ungemuombea msamaha kabla hajaenda huko kwa sababu ya unafik wako unakuja kupima upepo hapa ujue aliambiwa nn kwa mgongo wa kumuonea huruma
Pumbavu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Watz ni wanafiki sana umuombee nn huyu muhun??
Mmojawapo ni wewe mleta mada
Mnafiki mkubwa wewe eti tumuombee
Pumbavu kabsaa
Mtu ameshindwa kuthibiti mdomo wake unataka watu wamuombee huo ni ujinga
Anajiona yeye ni bora kuliko wengine
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.