Aisee mkuu nimefirah sana story yako....mm nmesoma njombe boys(Njoss) hakika umerudisha far back nmecheka baadhi ya vipengele aiasee....hasahasa suala la uchafu...mf; mm nilikuwa siogi kwa siku 6 yaan jumatatu had jumomos ikifika jumapil naoga ndoo 6 kwa pamoja et nafidia kila ndoo na siku yake....
Sasa mbona Musiba anasema...huyo muwekezaji alisha ikataa hiyo kesi na alifuta ila nyalandu na kundi lake,sijui kabuta nk ndo wamemuandaa mtoto wa steyhn wa uongo...ili wamuhujum Raisi na Musiba amesema tena Muwekezaj huyo hakuwahi kuzaa hata mtoto 1.( confusion)
Binafsi naomba ufafanuz wa Elimu bure kwa mkoa wa Njombe hususani sekondari ya Ulayasi iliyopo mkoani NJOMBE kata ya Mlangali kijiji cha Ulayasi.
Kufuatia sera ya CCM ya elimu bure kabisaa ya mwaka 2015 wakati wa kampeni na ikawa pia ni Ilani ya chama hicho ....Rais aliagiza wanafunzi wa...
If is not only Azory Gwanda who disappeared and died" what do you mean? What i can say according to Kabudis' statement "Azory is the one of people who disappered and died.....there are many others went through this situation like Azory Gwanda.....My Take.....According to Kabudi it seems azory...
Wengine sio wabinafs ccta....ila mfatilie vizur utakuta hana uwezo wa kukufikisha cha msing ongeeni na mtafute solution ....hilo nmeprov kwa baadh ya ndoa.Akisha pona utakuta mama unakula mikwaju had huamin macho yako ndo mwanamke ntakupa ushindi kabisa kuwa umeacha mbwembwe ila umetafuta...
Kaka ktika hao wawil atakae ongea sana ndo ameumia zaid anapo sema ww n mbaya ujue huko ni kutapa tapa tu....na anajarib sana kusema na akili yake ikuone mbaya lakn akil ya kwanza iliyo sema ww n handsome ndo jib kabisaaa.....mengn ni kuhangaika tu....ndo mana utakuta anajiuliza kila mahali ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.