lakini mkuu mungu anawezesha kila kitu
kwa nini aniadhibu kwa kufanya dhambi
wakati kaniwezesha kuifanya dhambi?
aana anasema hakuna kitu kimachofanyika bila uwepo wake
sawa kabisa kama mungu alijua tutamkosea kwa nini aliyuumba ili tuje kumkosea kisha aje kutuazibu huu ni uonevu mkubwa
ua kama alijua tutamkosea kwa nini hakurekebisha au kuondoa ujio wa makosa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.