Recent content by Mambo na watu

  1. M

    Tamko la Makonda Mkuu wa Mkoa Dar halitendewi haki

    Tunashangaa sana sisi wakazi wa huku Mburahati NHC kuna vijana wanakaa katika makundi huku wakivuta bangi na kucheza kamali pamoja na janga hili kubwa huku wahusika hawashughuliki nalo tunaomba serikali iliangalie hili kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wanaovuta bangi na kucheza kamali...
  2. M

    Vijana wacheza kamari wanasumbua eneo la NHC Mburahati, Polisi wanadai kesi hii ni ya Mgambo

    Napenda kutoa dukuduku langu Sisi wakazi wa Mburahati NHC eneo la Spider kama unaenda Luhanga tunasumbuliwa na vijana wacheza kamari. Vijana hawa wanapora wananchi. Hivi Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa anafanya kazi gani kama kazi ya kulinda wananchi inamshinda? Wakazi wa hapa hatuna raha...
  3. M

    "I Like It" wa Darassa na Sho Madjozi ni moto wa kuotea mbali

    Nataka ni kubebe .twende juu kwa juu. Hii ngoma inamrudisha darassa kwenye namba yak .mi I like it
  4. M

    Kwa kitendo cha kuwachukua ma handsome boys wetu walaaniwe Waarabu na Wazungu

    Matusi hayo umezaliwa na hao wasio na nguvu kiume ndio wamekupambania mpk sasa una nguvu ya kubonyeza batani kwa jasho lao .
  5. M

    Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

    Naomba ufafanuzi wa maana alama ya nyota na mwezi juu ya misikiti tafadhali.
  6. M

    Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

    Faiza bibie ebu nipe nafasi nikusitiri.mwanamke stara.
  7. M

    Kwa sasa upo kusikiliza nyimbo gani[emoji445]

    Tones and I . dance monkey
  8. M

    Kweli ushamba mzigo

    Ushamba wa ulinipataga kusikia wakishua wakisifia pizza na hamburger kumbe ni mikate ilitiwa tomatoes na cheese na mayonnaise na nyama ya kusaga kuja kuonja bado hawajafika kwenye chips zege .idumu chipsi zege ulimbo wa watoto kwetu uswazi.
  9. M

    Mnanipa ushauri gani kuhusu huyu mbwa?

    Mtafutie vyura humo ndani ya banda atabweka mwenyewe
  10. M

    Nimeingiziwa laki nane kimakosa nimeirudisha kwa mwenyewe

    umefanya uadilifu.na umetimiza wajbu wako .mungu Yuko pamoja nawe
  11. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Haina side effect kaka
  12. M

    Kwanini Serikali isiboreshe Magereza kama ya Hong Kong?

    We unafananisha kifo na usingizi .sio bado kufika huko acha tusubiri nchi ikiwa uchumi wa kati .
  13. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Hii chai ni ya kichina haina Ladha na uhalisia
  14. M

    "Kuowa ni 50/50 kupatia au kupatiwa"

    Kama yeye mchawi unamuolea mke wa pili mganga
Back
Top Bottom