ngoja aolewe il asiwe kahaba, watu mnaroho za kwanini,sasa wewe ulitaka akae ivovo bila kuwa na mwanaume kwani sister huyo,mie sio ushabiki wala nini ila nimesoma coment zako inaonekana wema anakuumiza sana,eti cheap,kwa kumlinganisha na nani?wema kamuacha huyo super star wetu kakutana na ivan...
slaa aliambiwa ndo maana alijitetea.kwan yeye ameambiwa na nani?au hao wa uturuki?na kama aliambiwa hapa tz kwanin asitete akiwa hapa tz akatolee majibu uturuki?huko ni kukosa kujiamin na unachokifjnya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.