Mimi kupaka make up. Naweza kununua vifaa lakini kuvipaka mtihani. Nikioga napaka lotion, powder na lip balm naridhika. Nikizidisha labda nipake mascara baasi. Zile layer za make up kwangu hazibebeki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kitu kama hicho. Mkiwa marafiki Kuna mawili unaweza kuanza kumuonea wivu juu ya mahusiano yake alionayo sasa au ukikuta yupo na mahusiano yasiyo na furaha atataka apumzishe nafsi yake kwako. Kitu ambacho ni hatari kwa mahusiano yako ya sasa. Waswahili wanasema ukitumia mua kama fimbo ya...
Umenena vema. Nakumbuka nilipograduate niliomuomba Mungu anipe ajira halali hata mshahara mdogo ila niwe na kipato changu mimi kama mimi. Bila kumtegemea mtu. I was so humble kwakweli nadhani hata ningepata ajira ya laki moja ningefanya ila sasa nilipopata nalipwa zaidi ya million mbili. Mungu...
Speed si mpaka akanyage mafuta? Speed inategemea uendeshaji wa mtu. Hata mimi nimewahi kuitumia na kwa kuwa mi si mkimbiaji barabarani niliitumia vizuri tu. Haina shida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.