JAMBO LA SITA
wateja tunaumizwa unapiga simu kabla ya kupokelewa huku bado simu inaita unakuta pesa zako zimeanza kukatwa. Nakumbuka kuna siku nimepiga simu nimesubiri dakika 200 yaani dakika takribani 3 ndio ikapokelewa. Muda wote wa dakika 200 umechukuliwa wakati nilikuwa sijaanza kuongea na...
Ndio sababu tunasema wapinzani wanahangaika kila kukicha kumsaka Magufuli wapi kwa kumkosoa huku majimboni mwao kuna shida zinawakabiri wapiga kuta wao. Ningetegemea mbunge kanisumbua serikali kila kukicha amsaidie kupeleka dawa na wataalam wa kuelimisha kuzuia ukimwi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.