JAMBO LA SITA
wateja tunaumizwa unapiga simu kabla ya kupokelewa huku bado simu inaita unakuta pesa zako zimeanza kukatwa. Nakumbuka kuna siku nimepiga simu nimesubiri dakika 200 yaani dakika takribani 3 ndio ikapokelewa. Muda wote wa dakika 200 umechukuliwa wakati nilikuwa sijaanza kuongea na...
Ndio sababu tunasema wapinzani wanahangaika kila kukicha kumsaka Magufuli wapi kwa kumkosoa huku majimboni mwao kuna shida zinawakabiri wapiga kuta wao. Ningetegemea mbunge kanisumbua serikali kila kukicha amsaidie kupeleka dawa na wataalam wa kuelimisha kuzuia ukimwi
Chadema wamemkamata Askofu Mkuu SHOO ambaye zipo taarifa za uhakika kapewa fungu/fedha na chadema ambazo kazitumia kuwanunua baadhi ya maaskofu ili waunge mkono waraka ambao hauna baraka za maaskofu wote
Tatizo kubwa KKKT limetekwa na chadema na siasa. Kanisa linaongozwa na Askofu Shoo ni mchaga na Chadema kinaongozwa na mchaga Freeman Mbowe ambaye pia msharika au anasali KKKT Zaidi Edward Lowassa ni dhehebu hilo hilo KKKT. Katika uchaguzi wa 2015 Lowassa alikwenda KKKT kuwaomba wamchague kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.