mbona kila mtu anaongea kuhusu wake za watu vp kuhusu wame za watu?wte wanatoka c mwanamke wla mwanaume.Uaminifu uko ktk akili yke na heshma kwa mwenz wke.
kweli malipo ni hapahapa duniani,auaye kwa upanga nae atakufa kwa upanga.thn ktu kngne celew hv hawa mastar hawawezfanya mambo kwa cri hadi mefia zjue.big ip steve r.i.p ulikuwa unafanya kimyakimya
inategemea mkoje ktk comitment me mume wangu yuko mbali bt huja once per month,ila namuheshm sna.Nampenda pia,mara nyng tunachat,tunaongea nk bt naona ok make tupo ktk utaftaj.Khyo km una mtu mbali thn hajajicomit kwako lazma atakutosa,c wanawake tu hta wanaume.
mdogo wangu kwa umri wko mpz ya nn coz hta ikitokea umempa bint ujauzito huwez majukum,nakushaur kazana na shule mapz yapo tu,kila kukicha wanazakiwa warembo.Ebu soma acha mzaha
huo ni ulimbukeni,tena c nidhamu. Tendo la kufanya mapz linahtaj ucri mkubwa c kufanya tu km mbwa,mlipaswa kumueleza conductor na wangeshushwa.Yn nimeborekaje!Nonsense
Mama ni mama hta iwe vp!kwanza wanawake mlio na watoto nadhan uchungu mnaujua.ebu fikiria hcho ktu thn mwsho wa cku mtoto anakudharau,ofcoz tumuombe Mungu awacmamie watoto wetu.huyo mama alikufa kwa huzuni sna,wkt watoto ni furaha na faraja toka kwa Mungu.
acheni kusemasema,huyo mama amesema anayojickia kweny moyo wake,khyo mcmuhukum kwa mengi. kaeni subirini haki itendeke,kila mmoja awe na subira. Hakuna mkwel anaejua ni lulu,marehemu na Mungu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.