kamanda ktk swala la mgombea Urais kama kweli Chadema wamependekeza ata mwenye miaka 18 anaweza kugombea da! kweli noma na kama ni kibom basi wakisafishe.
do kama kweli hayo ni maneno kutoka kwa Lema basi kweli umeanza kujijenga upya kisiasa, "SIASA YA KULOPOKA" nahisi umeipa mgongo au baibai, sasa unaweza.
Hivi ARUSHA kuna nini? kila mgombea mara nyingi anapewa wasifu wa " ALIKUWA JAMBAZI SUGU, JAMBAZI WA KULIPWA na WENGINE WARIDHAA" Jamani kama una cha kuchangia ni bora uwe msomaji tu, wanajitolea kuongoza Arusha kwa moyo wao wote basi wapeni nafasi na achaneni na propaganda za kichama
kamanda mbona ulipokuwa ndani ya shirika haya yote hukusema? baada tu ya kutimuliwa na kuundwa menejimenti mpya na mwapanga sasa unatuletea CHUKIZAKO HUMU, mlikula sana mwacheni mwapanga alinyanyue ATC.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.