Kama ni hivyo kweli, The President should go beyond that kwa sababu Waziri wa fedha,Katibu Mkuu na Management ya TRA walibariki maamuzi. Kwa nini wao wabaki salama?
Uongo mbaya sana,niko hapa Kagongwa kata Isagehe wilaya ya Kahama,huyu bwana anamkutano ,watu hawafiki 20,wengi ni watoto.Sasa hao 220 walitoka wapi?nina uhakika,NCCR hawana wanachama wanaofika 200 katka wilaya hii.Nimejaribu kuchukua picha lakini wamenizonga.
Wanafiki hao,walikuw wapi kabla Lissu hajasema?ni kweli hawakuwa wanafahamu hayo mapungufu?Hiyo tume italipwa na sisi makabwela?
Hao majaji wanajijua na wananchi tunawajua,wawajibike kwa hiari yao.
Ndugu,CCM ina wenyewe na wenyewe ndiyo hao, kilichokurudisha ccm ni nini?baada ya ccj kubuma ungeendelea mbele sio kurudi ccm,utalalamika mpaka basi,wenzio hawaangalii.
Yahya, mada nzuri, lakin kuweni makin na hizi mada na watangazaji (host) wanaotakiwa kuendesha.
Mtangazaji (host) wa Dar anapwaya, mada ni nzito kwake!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.