Eti wataalamu. Sehemu kubwa ya mmea inaundwa kwa Carbon dioxide na maji. Kwa kawaida kiasi cha carbon dioxide hewani ni asilimia 0.04 tu. Je kuongezeka kwa Carbon Dioxide hewani kutafanya mimea izalishwe kwa wingi zaidi?
Hii ni kweli. Hizo biphenols zina chemical structure kama za baadhi ya hormone za uzazi. Ukizitumia zinaenda kuvuruga mpangilio wa hormones. Kunywa chai kwenye vikombe vya plastiki ni hatari.
Na bado. Ukileta wageni waendeshe uchumi wako haya ndiyo matokeo yake. Unaleta wachina waweke mabonanza ya kamari nchi nzima. Matokeo yake hizo chelechele wanazokusanya wanaenda kuzibadili kuwa dola na kupeleka kwao. Shilingi inazidi kushuka, dola inazidi kuahitajika na kupanda bei. Huko...
Wabongo huwa hawajali kumhudumia mtu. Ukiisha walipa imetoka hiyo. Juzi kati Yanga walikuwa na mechi watu waliingia bure na VIP walilipia. Watu wa VIP kufika uwanjani wanaambiwa siti za VIP zimejaa, hawataweza kuingia.
Jana Cheka Tu walikuwa na show yao mlimani siti. VIP 40k regula 20K. Kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.