Ili ueleweke vizuri,ungefafanua kwa kutumia jedwali linalooneshe Mwaka na Bei na Mwaka ambao Corona na Vita vya urusi vimeanza. Otherwise graph itasumbua wengi
Habari ndugu zangu, naomba mwenye CV ya Katibu Mkuu Kiongozi mpya, Balozi Hessein Katanga, atupatie. Sisi kama wananchi tunahitaji kumfahamu vizuri Kiongozi wetu huyu...
kiuk
kiukweli ukisikiliza watu wa mitaani, wanakatisha tamaa kabisa, wengine wanasema bila rushwa hupati, bila kujulikana hupati, etc. Ila nimegundua tatizo kubwa watu hawajiandai vya kutosha. wanaenda weupe kabisaa, halafu wakikosa wanaanza kuongea mambo ya kufikirika fikirika tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.