SPIKA wa Bunge, Anne Makinda ameunda kamati ndogo ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kuchunguza tuhuma za wabunge kuhongwa, huku Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, akitajwa kuwa mmoja wa watakaolazimika kwenda kutoa ushahidi.
Mbali na kuunda kamati...
SAKATA la tuhuma za ufisadi bungeni limeingia katika hatua mpya, baada ya Spika wa Bunge, Anne Makinda kuamua kuunda Kamati ndogo ya watu watano kuchunguza tuhuma za baadhi ya wabunge kuhongwa, kwa lengo la kushawishi uamuzi unaofaa kuchukulia katika chombo hicho cha kutunga sheria...
Watetezi wa haki za Binadamu chini ya Mwamvuli wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDs),1 kwa ushirikiano na wadau wengine tunapinga vikali kufungiwa kwa gazeti la MwanaHalisi na Serikali mnamo tarehe 30th Julai 2012 kwa kutumia Sheria ya Magazeti ya mwaka 1976 Sura...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.