Kwa kawaida wachochezi wa uvunjaji wa amani ni wa hatari duniani kote. CCM inaungwa mkono na waTanzania wenyewe huku CHADEMA wakiungwa mkono na wakoloni walioitawala Afrika.
Nape KATIBU WA SIASA NA UENEZI CCM-TAIFA na Josephat Isango, MWENYEKITI WA BAVICHA-MKOA SINGIDA hawawezi kuwekwa kwenye ulingo mmoja na wakapambanishwa na watu wakalipia fedha zao kutazama tukio la kifo! Ni sawa na kutoa mtihani wa Chuo Kikuu kwa mtoto wa chekechea ukimshindanisha na mbobezi wa...
Sidhani kama kutukanana kutatuboresha kifikra. Nadhani kutukana ni dhana ya mnyonge wa fikara. Mimi nina imani kubwa na ninyi nyote mnaotumia mtandao huu wa jamii forum kuwa mnao upeo na uwezo mkubwa wa kifikra ambao utakuwa kinyume kabisa na utamduni huu wa matusi. Nakubli na ninajua wazi...
Tabia ya kuku wa kienyeji ndiyo inayowafanya wapungue sana kijijini. Kuku akiwa na vifaranga 12 sauti yake waijua. Vifaranga wakipungua sauti ya kuku ni ile ile ya kujiliwaza. Kwa juma zima baada ya kutoweka kifaranga cha mwisho, sauti yake ni ile ile utafikiri anaongoza jeshi la vifaranga...
Wenzenu wa CHADEMA ni Ma-strategists waliobobea kwenye medani za kiuchumi. Wametuingiza mkenge mpaka wamepata uhalalali wa kupewa ruzuku serikalini, wamejipatia usajili wa kujenga uhalali wa kupata hata fedha za wafadhili na kwa muda mrefu walijitambulisha kwa bendera yenye RANGI NYEKUNDU...
Wenzenu wa CHADEMA ni Ma-strategists waliobobea kwenye medani za kiuchumi. Wametuingiza mkenge mpaka wamepata uhalalali wa kupewa ruzuku serikalini, wamejipatia usajili wa kujenga uhalali wa kupata hata fedha za wafadhili na kwa muda mrefu walijitambulisha kwa benfdera yenye RANGI NYEKUNDU...
Wote watakuwa mwili mmoja pamoja na Baba. Wakati wenu ukiwadiia mtarudi kwa baba naye atawapokea kwa mikono miwili na kuwafanyia sherehe. KARIBUNI CCM nafasi ingalipo tele......!
CHADEMA ni wachuuzi wa maneno wakati CCM ni watekelezaji wa mipango ymendleo itokanayo na maamuzi mkini kwa manufaa ya umma. Kila mwenye pumzi na aseme CCM juu...Juu...juu....juu zaidi! Mtatukana mpaka midomo imegeke! Nasi twasema, Amina..
ADA YA MJA HUNENA.......
UTANGULIZI
Nimeisoma makala nyingine ya Kibanda yenye kichwa kisemacho; KINANA NI KIMBUNGA baada ya ile ya kwanza iliyojinadi kwa kichwa kisemacho; NAMWOGOPA KINANA. Mwandishi huyu ni hodari sana katika masuala yenye kuhitaji kufanyiwa uchambuzi. Ni msomi mbobezi...
UTANGULIZI
Nimeisoma makala nyingine ya Kibanda yenye kichwa kisemacho; KINANA NI KIMBUNGA baada ya ile ya kwanza iliyojinadi kwa kichwa kisemacho; NAMWOGOPA KINANA. Mwandishi huyu ni hodari sana katika masuala yenye kuhitaji kufanyiwa uchambuzi. Ni msomi mbobezi katika fani yake, mwenye...
Nakubaliana na maudhui yaliyopo kwenye Makala ya Maggid Mjengwa ya kichwa kisemacho CCM NA NJIA YA KINANA iliyokuwa posted kwenye JAMII FORUMS ikitokea kwenye Gazeti la RAIA MWEMA. Uchambuzi wa aina hii ndio pia unaotakiwa katika mitandao ya kijamii. Inaonekana michango mingi kwenye magazeti...
SURA YA KWANZA
Tanzaniani nchi yetu sote tuliozaliwa humu (wazawa) pamoja na waliojiandikisha kuwaraia. Sisi sote kwa mchanganuo huo tunalo jukumu la kuiendeleza na kuilindanchi yetu kupitia uzalendo uliotukuka na wenye kujipambanua wazi wazi kila wakati,hususan kwenye masuala ya mustakabali na...
UFAFANUZI: Maelezo yaliyo katika maandishi ya rangi nyekundu ni yaYeriko Nyerere na maandishi ya rangi nyeusi ni mawazo yangu.
Napenda kuchangia mawazo yangu kwenye hojaya Yeriko Nyerere kwa kujikita katika kichwa cha hoja yake kama kinavyojinadi. Naanzakwa kukanusha hoja isemayo; maadui...
UFAFANUZI: Maelezo yaliyo katika maandishi ya rangi nyekundu ni yaYeriko Nyerere na maandishi ya rangi nyeusi ni mawazo yangu.
1.Lowassa na Jakaya Kikwete ndio Maadui wakuuwa ushindi wa CCM 2015 sio
CHADEMA-YERIKO NYERERE
Pengine wanaCCM wanajua ama hawajui adui yao mkuu katikakilele cha kushika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.