Humo barabarani mna mambo mengi sanaa, mwanzo wa safari na kila mmoja aombe kwa imani yake AMEN
Mewaza nkakumbuka mada ya nyimbo za dini Bar/ama Night clubs ..... wote waliokuwa wamekaa utashangaa wananyanyuka na kuimba ama kucheza
Kila mmoja kwa imani yake na aseme In shaa Allah, In sha...
Wataoneana wivu, endapo mmoja anakata viuno ka feni mbofu na kutoa mlio ka wa lori la FIAT likipanda mlima ili hali mwenzie ni kama wale wa ukanda ulee hawana mbwembwee, wanakwambia we tumia ukimaliza funika na hana ata miguno ya mahabati
Nilivoelewa ni kwamba geti limeambatanishwa na majengo yaliyopo hapo (picha haionyeshi ukubwa ma majengo, vifaa vilivyomo ndani, miundo mbinu mingineyo etc), embu kuza picha tuyaone na kutathimini jambo
Wakiwa kazini ufikapo kwenye dawati lao wanakupiga mikwaraaa ....... wastaafupo ukutanapo nao wanakuomba kikombe cha chai kwa kujizima data hawakumbuki matendo yao mida walipokuwa kazini
Karama zinatofautiana, wasikilizaji ndo wataweza landanisha utangazaji wake
Ka sauti ya Diva over night hahaaaaa unaweza tamani vingi vizuri ili hali humiliki ata moyo wa ntuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.