Karama zinatofautiana, wasikilizaji ndo wataweza landanisha utangazaji wake
Ka sauti ya Diva over night hahaaaaa unaweza tamani vingi vizuri ili hali humiliki ata moyo wa ntuu
Wachagga wanafata kauli mbiu ya Fanya kazi, pata kipato, wekeza kwa baadae (miradi, elimu ya watoto, kuwasaidia ndugu), na mwagilia moyoo (mvinyo mvinyoo)
Kuelewa ka pana mamba, mloko maeneo hayo chukueni mbuzi wawe wanakula maeneo jirani na kunywa maji hapoo mamba alikoonekana >>>>ukiona damu tuu ujue mambo bambam
Wanaume bar sio suluhisho, jifunzeni ongea na wenza wenu mueleze yaloko moyonii mwenuu
Si ajabu kumkuta mhudumu wa bar anaju in and out za Mr Pombe mmewe Miss Thoda
Dar ukiwa njiani waweza dhani watu wote ni waajiriwa ama wana business kubwa kubwa huko wakimbiliako asubuhii .... watu wanachacharika ka sisimizi/mchwaaa
Kikubwa kwa jiji la dar ukipata opportunity na kuitumia vizuri hufi njaa waaalahiii vile nakwapia kwa jina la mihogo mibichi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.