Ameweka kwenye blog yake na ukishaishusha tu inakudai password ambapo inakupasa uwasiliana naye na ulipie 8000 au 10000. humu ndani watu wanatoa Win7 na key for free na zaidi ya software kibao lakini mshikaji yeye anafanya biashara
Jozzb,
Humu ndani watu wanatoa software bure wewe unatuambia tulipie 8000 au 10000 ili utupatie password. kama unahitaji kufunguka basi tupe bila password au weka hewani password.
Ndugu,
Kwa msaada wangu wa haraka haraka, Zantel wametoa offer kwa watumiaji
wa GSM sim card kupiga simu za nje ya nchi kwa gharama nafuu yenye
kiwango wasia au karibu kufikia na gharama za simu za ndani ya nchini.
Hivyo basi wakajumuisha na huduma ya vifurushi endapo unayo modem yao
ya...
Bongo tambarare bwana tumeshazoea adha aina zote ndio maana mtanzania nchi yoyote anaweza kuishi isipokuwa yenye vita tu sababu hatujazoea. Haijawahi kutokea ndani ya Mwezi mzima umeme uwe stable bila kukatika hovyo na muda mwingine bila taarifa.
Superman,
kwa kuongezea tu kidogo kwa kile ambacho nakifahamu mimi ...hawa wachina ( Starmedia) wanatumia Decoder ambayo inakuwezesha kutumia smart-card ambayo watakupatia wao na pia gharama zake zitaanzia TZS 10,000 au zaidi kwa mwezi ila nimejaribu kufuatilia sijajua gharama ya decoder ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.