Kabla hamjahamasisha na kuchangia maandamano ya Mwanza.Je mmeuliza kama utaratibu umefuatwa wa maandamano?.Kama kuna mtu ana taarifa za utaratibu uliotumika kuomba kibali atume hapa tushirikishane.
Nawasilisha.
Hivi mbona Watanzania na Akili zetu timamu tunageuzwa mbumbu? Mhesh.mmoja alisema Haijui Dowans na wala hana maslahi nayo.Halafu huyohuyo ndiye mwenye vyombo vya Usalama imekuwaje huyo El- A dawi apenyeze mipaka NA AJE NA GIA ati ya kutusamehe/kupunguza deni.Nani amemwalika kama siyo hao hao...
Wana JF nawaomba tukumbushane ni kama sasa tunaelekea kutaka kupoteza na kuzima moto wa kushughulikia Katiba mpya.Kama kawaida yetu watanzania tunajidai tunajadiliana kwa muda mfupi halafu eti tunasahau mwasemaje juu ya hilo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.