Recent content by kitomondo1

  1. K

    Kama wewe ni mgeni Shinyanga mjini, usilale Buchosa guest house inafuga vibaka na majambazi

    Sipajui hapo majengo napajua kwa kupaona tu coz ni mgeni
  2. K

    Kama wewe ni mgeni Shinyanga mjini, usilale Buchosa guest house inafuga vibaka na majambazi

    Nazan ni majengo nje yake kuna lisanam la sokwe kubwa ndo nlokusudia mimi kwa mbele ni ukuta wa hospital kulia kwake kuna uwanja wa basket ball
  3. K

    Kama wewe ni mgeni Shinyanga mjini, usilale Buchosa guest house inafuga vibaka na majambazi

    Duh pole sana mkuu na asante kwa kutupa taarifa mi shinyanga nkilala huwa nalala empire ipo mazingira au karena motel mara chache lakin hiyo ipo mbali na town
  4. K

    Temeke wanaongoza kula miguu na utumbo wa kuku na vichwa vya ng'ombe

    Mleta mada hajitambui huyo tmk ndo mpango mzima tupo wana tmk tena kwa kukupa taarifa tu jumapili karibu dar nzima wanakuja tmk kigamboni kuna beach za kufa mtu huko
  5. K

    Temeke wanaongoza kula miguu na utumbo wa kuku na vichwa vya ng'ombe

    Pamoja na utafiti wako mi nahis hujitambui bro temeke ni wilaya ambayo inaingiza pato kubwa kuliko yote serikalin kwa dar na ndo wilaya ilokaa kikazi zaid hao kino na ilala ni watu wa stareh tu
  6. K

    Nilichojionea Msumbiji; Ile sio nchi, ni genge la wahuni wanaonyanyasa waafrika

    Duh pole sana mkuu mi nashkuru niliendanga huko sikupata majanga kama haya ila pesa kiukweli zilinitoka coz walikua wakinisimamisha sikutaka kuulisana doc aina yoyote nilikua nawapa tu napita ndo kilichonisaidai coz hata hapa bongo ndo hivyo utatimiza kila kitu lakin akikukamata hakosi makosa so...
  7. K

    Ni aina gani ya gari nzuri kupeleka watoto shule?

    Napita naombeni mnifikishie salam zangu kwa ndugu zetu wa bukoba kina nshomire
  8. K

    Hii Ndo Habari Mpya Kuhusu Shekhe Ponda Soma Hapa

    Inshaalah atatoka kwan mi naona hana kesi kabisa kwa kijikesi hicho ni ujinga tu wa mfumo nanihiiii
  9. K

    Swali langu ni

    Kwa nini siku hizi msikitin au kanisan watu hawajai na hakuna kiingilio cha ajabu kwenyw madisco na sehem za stareh kuna kiingilio lakin wanajaa hadi hapatoshi
  10. K

    Mchalo kama mtamu maana yake nini?

    Duh sisi wengine ndo mnatuacha njia panda
  11. K

    Hii kweli?: South Sudan Electric Company

    Nusu garama za tiketi yqke
  12. K

    Hii kweli?: South Sudan Electric Company

    Ni kweli mkuu mi naamin hilo coz kuna mshkaj wangu kaenda kufanya kazi dubai kwq kupitia mtandao huo mwanzon alipotumiwa mi nilizarau na kumcheka sana kumwambia njaa itatupeleka pabaya hakukata tamaa walimtumia mtihan na form akajaza jaza zote katulia kama mwezi hakuona majibu nami nikawa...
  13. K

    Kwanini Ethiopia nchi masikini kuliko sisi, wanatuzidi sana kwa kasi ya maendeleo?

    Ok nimekuelewa vizuri sana mkuu ila kuna dondoo nimezipata kua ethiopia ni mji wa siku nyingi sana na hata mitume walopita wengi wakituma wajumbe na wao pia waliombea uwe mji mzuri
Back
Top Bottom