Hii safi sana then wale Policcm 25000 waje hapo na maboom yao, watz inabidi tujifunze kidai haki kwa maandamano.
Kila mtu atoke nje na tukifanya hi yo lazima tutafanikiwa tu.
Sasa Yule mtoto wa Hanga anayesema anataka kumshtaki Lissu aje hapa atuambie huyo baba yake alimzika wapi. Njaa mbaya mpka unadiriki kukana kifo cha baba yako kwasababu ya vipande vichache vya fed hua
Kwani kuna ibara IPA katika Jamhuri ya muungano wa Tanzania imezungumzia Rais awe kwa awamu yani mkristo then muislam au atoke tanganyika anayefata atoke Zanzibar? Mbona sheria hivi inafuatwa na haiko kwenye katiba? So siwezi kushangaa hilo la makabila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.