Recent content by kirang'enta

  1. K

    Serikali rekebisha haya mapema TRA

    Wapo wahasibu na wakaguzi wa hesabu watumieni hao watawasaidia badala ya kuwalaumu TRA
  2. K

    Ujenzi wa nyumba vyumba 3 na sebule kijijini

    Mzee unatisha sebule na master kijijini mbona husemi maji umeme upo unasema unaanza maisha huku unataka kuoa duu hueleweki kabisa wewe
  3. K

    Nimegombana na rafiki yangu kwa kuniita "MKURYA" mbele za watu

    Wakurya tunajisikia faraja kuitwa hivyo kwa maana jamii ukitambua hivyo 'discipline' inakuja automatically mambo ya hovyo hovyo yanatoweka
  4. K

    Je, tutalazimika kuwa na Bunge la dharura kurekebisha hizi sheria?

    Nahitaji kufahamu Input VAT kutokana na miamala ya kibenki itakuwa inakuwa claimed vipi au tax invoice yenye matakwa yote kama ilivyo kwenye sheria ya VAT itapatikana wakati upi kumwezesha VAT registered trader kuiweka kwenye VAT return - naomba kujuzwa kwa mwenye kujua hili lilivyo
  5. K

    TANESCO mbona mnatufanyia hivi hapa Bunda?

    Tunaboresha miundo mbinu msihofu ba ndugu ba Bunda
  6. K

    Nimegundua ni kwanini CCM hawataki kutoka Ikulu, nimewaelewa sana

    Mtoa hoja analysis na maelezo yako hayaoani hivyo kufanya hoja isiwe na mvuto sana. Jaribu kufanya analysis na maelezo vyote vilandane nakutakia sikukuu njema
  7. K

    Uhaba wa Maji UDSM

    Kumekuwa na uhaba mkubwa wa maji katika campus ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa takribani wiki moja sasa. Hali hii inasababisha usumbufu mkubwa wa wanafunzi wafanyakazi na wakazi wote wa eneo hili. Tunaomba wahusika wote kutatua tatizo hili mara moja kabla ya kulipuka madhara mengine...
  8. K

    Balozi Juma Mwapachu na ubinafsishaji wa mashirika ya umma!

    Mleta hoja unataka kutuaminisha kuwa mashirika yalikufa kwa sababu aliyejitoa chamani ndiye mhusika? Hii ni dhana potofu ukweli ni kwamba chama kilichoko madarakani ndo mhusika mkuu na sasa yanaenda kufanyika MABADILIKO kukiondoa kwa njia ya amani kisha wapenda maendeleo wataingia kazini kufanya...
  9. K

    Balozi Juma Mwapachu na ubinafsishaji wa mashirika ya umma!

    Duuu wakati huu ndo umjadili kuhusu ubinafsishaji wa mashirika ya umma kwa nini haikuwa wakati akiwa anayatekeleza majukukumu ya ukamishina napata hisia wazo lako zuri limepitwa na muda na kwamba mabadiliko tarajiwa yatakidhi marekebisho yote
  10. K

    CCM wana nyanyapaa CCM

    CCM=Choni Choni Makomeo
  11. K

    Viongozi Wakuu wa NCCR - Mageuzi Watoa Tamko, Waikosoa UKAWA

    Ushauri wangu hapa ni wanaona hatua na maamuzi yaliyochukuliwa kama hayana mashiko ni kujitenga nayo yapo maisha pia nje ya Ukawa na NCCR Mageuzi
  12. K

    CCM itashindwa vibaya Uchaguzi Mkuu 2015

    Msaada kwa mwenye tafsiri sahihi ya uroho wa madaraka aiweke wazi isiyokuwa mrengo wa kiitikadi ni muhimu kujua ili tuweze kuchangia mada hii vizuri
  13. K

    Wawekezaji sekta ya mafuta na gesi wameweka mpira kwapani

    Wana JF habari nilizozipata muda si mrefu ni kuwa wawekezaji sekta ya gesi na mafuta nchini TZ wamepunguza uwekezaji wao kwa kiasi kikubwa kiasi kwamba hata wafanyakazi katika sekta hiyo wengi wameachishwa au wataachishwa kazi hivyo basi ndoto ya uchumi wa gesi imezidi kusogezwa mbele...
  14. K

    Makongoro aanza MAFUNZO ya kukabidhiwa nchi; Mbio za Lowassa ndani ya CCM zazimwa rasmi

    Makongoro kwao ni Ikulu ndiko alikokulia hakuna cha kujifunza ni sawa usemi wa kumpiga chura teke kumwelekeza kisimani hatajifunza kuogelea ataendelea kuogelea
  15. K

    Majibu ya Zitto kwa Wana-CHADEMA

    Nadhani kuna taratibu za kufuata kujiunga kwenye ushirikiano wa aina yeyote na ukawa pia ushauri wangu ni kuwa kama act wanania ya kujiunga na ukawa basi wafuate hizo taratibu vinginevyo tutachoshana hapa pengine act hawahitaji huo ushirika
Back
Top Bottom