Recent content by Kingofkinzudi

  1. K

    Zitto awasilisha hoja binafsi juu ya walioficha fedha Uswiss

    Chama tawala na serikali vikikosa integrity, ndio matokeo yake. Chama Tawala na Viongozi ndio majambazi dhidi ya Wananchi. Anna Makinda atatumiwa kwa udi na uvumba kuipotezea Hoja hii Binafsi. Kwa Hoja kama hii angekuwepo Samweli Sita ingebidi serikali ifumuliwe na ifumwe upya. Zito Big Up Sana
  2. K

    Kikundi cha Waislam chatawanywa kwa mabomu Mnazi mmoja - Dar

    Waandamanaji wa aina hii wanastahili kupigwa risasi
  3. K

    Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

    Kama nhi hii ingkuwa ya Kiislamu basi mahakama ya Kadhi ingetakiwa kuwepo. Kila mtanzania anahaki ya kuchangia hoja kuhusiana na kuanzishwa mahakama ya kadhi kwa kuwa kadhi atakuwa anakula kodi za watanzania, hivyo sio sahihi kudai kwamba eti habari ya kuanzanisha mahakama ya kadhi ni jambo la...
  4. K

    Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

    Jambo kubwa ni Kwamba Kadhi anataka kula kodi za Watanzania anaposhughulikia masuala ya kidini. Yaani unafanya ibada alafu unalipwa mshahara wa kutoka kwenye kodi kanakwamba idaba hiyo ni maslahi ya nchi.
  5. K

    Wabara wanaoishi Zanzibar kupewa vitambulisho vya wageni Zanzibar

    Hakuna wakuwakemea wanaoufitini muungano. Muungano hauna maisha marefu.
  6. K

    Wabara wanaoishi Zanzibar kupewa vitambulisho vya wageni Zanzibar

    Kwa kweli muungano wa Tanganyika na Zanzibar umejaa Kero. Nyerere na karume wangemaliza kuungana kwa kila kitu yasingekuwepo haya malumbano ya leo. Pia Serikali ya Zanzibar pamoja na Baraza la wawakilishi hawataki muungano kupitia matendo yao. Thanks
  7. K

    National Health Insurance Fund (NHIF) - Kero za wananchi

    Mkuu mambo ya misaada yanaurasimu. Unajua NHIF unachangia sehemu na serikali inatop up, sasa kwa tanzania kitu chochote ambacho serikali inamkono kiko chini ya kiwango.
  8. K

    Kusema ‘Mamlaka zote zimewekwa na Mungu tunapaswa kuzitii’ inatumiwa vibaya!

    Jamani jambo hili ni rahisi tu. Mamlaka ya kifisadi haiwezi kuwekwa na Mungu. Mamlaka ya uzinzi, uongo pia haiwezi kuwekwa na Mungu.
  9. K

    Bunge lawaka moto: Lissu, Msigwa na Lema watolewa nje!

    Chadema endeleeni kupiga kazi. 2015 CCM lazima iangushwe. Chadema ikifika 50% nidhamu itakuwepo.
  10. K

    Jaman hali hii Bungeni!!....... enough is enough!!!!

    Kinachofanyika sasa ni kampeni tosha kwa Chadema 2015. Kwa sasa wabunge wanaotetea kwa uchungu ni chadema tu. CCM hakuna mbunge anayetetea hoja kwa nguvu.
  11. K

    Miaka 50 Baada ya Kupata Uhuru

    Hili ni jambo la ajabu sana miaka 50 baada ya uhuru bado hakuna miundombinu ya maji wala maji, hakuna miundombinu ya umeme wala umeme, hakuna shule, hakuna mahospitali kwa sababu kwenda mwananyamala ni sawa na kwenda kwa mganga wa kienyeji nk. Hivi serikali imesimamia kitu gani kikafanikiwa...
  12. K

    Baadhi ya maeneo jijini hayana umeme kwa karibu masaa 36.

    tatizo la umeme sasa ni kubwa. Rufiji basin peke yake inauwezo wa kuzalisha umeme wa kutosha kutumika tanzania na kubaki. Feasibility study zilifanywa toka miaka ya 1980. Na RUBADA ikaundwa kusimamia investment kwenye Rufiji basin. Lakini hakuna mipango na utekelezaji madhubuti. Katika ubepati...
  13. K

    Hawa ndiyo wabunge wa viti Maalum CHADEMA, CCM na CUF

    Naona sasa tunaanza kuihalibu jamii forum, kwamba hoja inayoiponda serikali au chama tawala ndio inafaa. kama unataka kuongelea kushuka na kupanda ongelea vyama vyote ili uwe balanced.
  14. K

    HOTUBA ya Seif Sharrif na Majibu yake kuhusu Maridhiano Zanzibar!

    Baada ya ukimya kwa muda mrefu. Seifu amemtambua seifu hiyo inamaana kuwa kutomtambua kwake kwa miaka mingi hakuwa sawa. Siasa is a dirty game honestly.
Back
Top Bottom