Recent content by king fighter

  1. K

    Hofu ya Mbowe na CHADEMA juu ya Zitto

    Duhhhhhhhhhhhh nimeipenda iyooooooo
  2. K

    Utambulisho

    Ya welcom madam.............jickie huru kutoa mawazo huru
  3. K

    Nauza Huawei y300 Tshs 90,000/=

    Mi nnayo inatumia lain moja mwenye anaitaji anicheki.....,.................0714298129
  4. K

    Hii ya Agness Masogange kutokea mtandao wa Media take out

    Huyu anafaa kabisa kupewa nchiii....................Mheshimiwa hajamwona nn
  5. K

    Waliopata supplementary diploma wanaweza kuajiriwa mwaka huu?

    Nataka kujua jamani kama wale waliosupua wanaweza ajiriwa bila kutuma barua TAMISEMI maana kunafununu wanasema bila kutuma maombi hawawezi ajiriwa kama miaka mingine mwenye ukweli kuhusu hili tafadhali
  6. K

    Tatizo la kuwa na ndoto au mono kama huu ni nini?

    Na linaepukika vipiiiiiiiiiiiii na huwa hata kabla cjalala nimejigesha tu ndo shida inaanza hapohapo
  7. K

    Tatizo la kuwa na ndoto au mono kama huu ni nini?

    Kunabaadhi ya siku nikilala huwa nashindwa kuhema nahisi kama nahamishwa mahali kwingine je! hii inasababishwa na nini na ntaepukaje hili jambo pia likinitokea huwa nashindwa hata kuinua mkono au kiungo chochote cha mwili.
  8. K

    Fursa: Nufaika kupitia simu yako ya mkononi

    Tupeni feedback na cye tujue wazee kama inalipa
  9. K

    News Alert: UFO in Dar

    Mie Tomaso mpaka nione pic.................fanya kutupia picha
  10. K

    Usiku wa jana sijalala, nimekesha ninalia

    Ungeng'ang'ana kwa mama mkwe..............
  11. K

    Usiku wa jana sijalala, nimekesha ninalia

    Mwambie mkwe arudishe maharii tu
  12. K

    Nafikiria kufanya maamuzi magumu

    Nenda tuuuuu maana hutoishi na wazazi wako through out ya lyf
Back
Top Bottom