Iramba watatumbuliwa wote, huyo mbunge wao tu ashukuru halmashauri kuu ya juzi kati ndio imemzuia Magu (muzee ya bastola) lakini angesharara nae mberee………!
Watu watapiga kura unguja kisha wanapanda boti kwenda kupiga pemba maana hakutakuwa na mawakala wa CUF wala vile vyama vingine visivyo na wabunge. Kuna kila sababu ya kurudi kwenye mfumo wa chama kimoja ili kuepusha uvunjifu wa amani unaoandaliwa kwa makusudi na sijui kama wanajiandaa pia...
Watu wanatetea na kujitetea sana humu khs kuoa used. Ukweli ni kwamba bikra ndio zawadi pekee na ya kipekee kutoka kwa mke kwenda kwa mume pindi mnapofunga ndoa na wala sio miguno, kukata viuno, kuvaa shanga, kujua masuala ya 6×6, kuisaidia familia kiuchumi wala kuwa na mahaba na nawe. Usipokuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.