Ninachokijua juu ya Lipumba ni kwamba anekuwa akipata mgao kutoka ccm kwa kudumaza upinzani, sasa wana cuf wameshtuka anaanza kulaumu ukawa. Kuna uhusiano gani kati ya uenyekiti ndani ya cuf na ukawa? Kwani Lowasa ameingia ukawa kupitia cuf?
Hahaaaaa! Aende akalipe deni la magamba, yy alijua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.