Hawa wanasiasa wapiga domo mkandarasi yuko na mkataba ndani ya mkataba kila kitu kimeelezwa tena kwa vifungu vya sheria mpaka ucheleweshaji na namna mkandarasi atakavyo adhibiwa (LD- Liquidated Damage) anapotokea mwanasiasa anapiga domo bila kuangalia mkataba unasema nini ni kama anatafuta...
Kila mwaka wa Fedha zaidi ya 500b zinatengwa/pitishwa kwaajili ya manunuzi ya magari iweje huyu Dc aseme wanakosa magari wanaazima kwani yote mbona ni ya umma
Huwa wanapewa malengo ya makusanyo kutoka kwa kamishina wa kodi kupitia meneja wa mikoa ya kikodi kila mwezi kwahivyo mameneja nao huwakimbiza wakuu wa vitengo hasa domestic revenue wayafikie malengo ya makusanyo waliyopewa ndo maana mameneja wa mikoa ya kikodi huwa mbogo wanapowadai...
Utaratibu upi wa kibinadamu hakuna mfanyabiashara aliye tayari kulipa kodi kwa kupenda bila kubanwa na sheria amini nakwambia pale Kkoo ni mfano tosha mfanyabiashara hakupi risiti anakuletea mtu wa kukuuzia hiyo risiti ya kutembeza mzigo kutoka Kkoo ukigoma anakwambia ni bora asiuze kwa hali...
Labda kwakuwa hayupo kwenye biashara ndo maana anayaongea hayo ila ukweli ni kuwa kufungia akauntil za bank za wafanyabiashara (Urgency notes) kupo pale pale hasa kama unadaiwa na hulipi kwa muda mrefu asidanganye umma. Wafanyabiashara siku zote hawapendi kulipa kodi huo ndio ukweli kuendelea...
Hakika hili suala la bima kwa wote linahitaji akili kubwa maana regressive tax huwa ni mzigo mzito kwa wenye kipato duni au wasio na kipato na kingine kwa ufanisi upi serikali inaweza simamia hayo makusanyo maana kama hapo awali pesa zimechotwa kwenye mfuko (NHIF) na hazilipwa mpaka leo...
Huo ufanisi wa kumudu kuendesha huo mfuko kwa ufanisi utakuwepo? Maana CAG anaeleza kwenye ripoti yake kuwa serikali imekopa pesa nyingi kwenye huu mfuko mpaka leo hii haijarejesha sasa tuendelee kuamini serikali haitarudia madudu iliyofanya huko nyuma kuchukua pesa za mfuko? Kingine kwanini...
Uko sahihi jinsi Watanzania na serikali ilicyo ni bora utaratibu ukafanyika hivyo maana huko mbeleni itakuwa majanga serikali haina ufanisi wa kuendesha shirika lofoten la biashara na likapata na likatoa huduma kwa viwango ni bora kuwahi sasahivi tumeona mwendokasi, Tazara, TTCL, shirika la...
Sio kazi wala wajibu wa waziri kusitisha/kukatisha mkataba wa mkandarasi maana upo kisheria na taratibu za kusitisha mkataba zipo ndani ya mkataba utaratibu huu hupelekea serikali kushtakiwa kutokana na kukiuka mkataba na kupelekea hasara chonde mawaziri hebu punguzeni mihemuko. Mikataba ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.