Search results

  1. K

    Albert Chalamila atishia kumuweka ndani mkandarasi wa Mwendokasi

    Hawa wanasiasa wapiga domo mkandarasi yuko na mkataba ndani ya mkataba kila kitu kimeelezwa tena kwa vifungu vya sheria mpaka ucheleweshaji na namna mkandarasi atakavyo adhibiwa (LD- Liquidated Damage) anapotokea mwanasiasa anapiga domo bila kuangalia mkataba unasema nini ni kama anatafuta...
  2. K

    Sophia Mfaume: Wakuu wa wilaya hatuna Magari, tunaazima Halmashauri na kwa RAS

    Kila mwaka wa Fedha zaidi ya 500b zinatengwa/pitishwa kwaajili ya manunuzi ya magari iweje huyu Dc aseme wanakosa magari wanaazima kwani yote mbona ni ya umma
  3. K

    Nape Nnauye: Rais Samia amefuta ada kuanzia awali mpaka kidato cha 6. Mlioguswa nendeni mtandaoni mkaseme 'Tunasimama na Samia'

    IRS hao ni balaa wakikuandama unakimbia mwenyewe hawana cha salia mtume wasanii kibao washakimbia US wakiwakimbia IRS
  4. K

    Nape Nnauye: Rais Samia amefuta ada kuanzia awali mpaka kidato cha 6. Mlioguswa nendeni mtandaoni mkaseme 'Tunasimama na Samia'

    Kipindi kile humjui yupi ni yupi unaweza kudhani unafanya mazungumzo na ofisa wa kodi pekee kumbe mtu ana ripoti ofisi mbili tofauti kwa wakati mmoja
  5. K

    Nape Nnauye: Rais Samia amefuta ada kuanzia awali mpaka kidato cha 6. Mlioguswa nendeni mtandaoni mkaseme 'Tunasimama na Samia'

    Huwa wanapewa malengo ya makusanyo kutoka kwa kamishina wa kodi kupitia meneja wa mikoa ya kikodi kila mwezi kwahivyo mameneja nao huwakimbiza wakuu wa vitengo hasa domestic revenue wayafikie malengo ya makusanyo waliyopewa ndo maana mameneja wa mikoa ya kikodi huwa mbogo wanapowadai...
  6. K

    Nape Nnauye: Rais Samia amefuta ada kuanzia awali mpaka kidato cha 6. Mlioguswa nendeni mtandaoni mkaseme 'Tunasimama na Samia'

    Utaratibu upi wa kibinadamu hakuna mfanyabiashara aliye tayari kulipa kodi kwa kupenda bila kubanwa na sheria amini nakwambia pale Kkoo ni mfano tosha mfanyabiashara hakupi risiti anakuletea mtu wa kukuuzia hiyo risiti ya kutembeza mzigo kutoka Kkoo ukigoma anakwambia ni bora asiuze kwa hali...
  7. K

    Nape Nnauye: Rais Samia amefuta ada kuanzia awali mpaka kidato cha 6. Mlioguswa nendeni mtandaoni mkaseme 'Tunasimama na Samia'

    Labda kwakuwa hayupo kwenye biashara ndo maana anayaongea hayo ila ukweli ni kuwa kufungia akauntil za bank za wafanyabiashara (Urgency notes) kupo pale pale hasa kama unadaiwa na hulipi kwa muda mrefu asidanganye umma. Wafanyabiashara siku zote hawapendi kulipa kodi huo ndio ukweli kuendelea...
  8. K

    Mbunge wa Gairo, Shabiby ataka fedha za bima kwa wote zikatwe kwenye laini za simu

    Kukurupuka ndo huku tozo (Mwigulu) ziliishia wapi hata kiasi kilichokuwa kikikusanywa hakijulikani
  9. K

    Hayati Magufuli kukataa kufanya tathmini ya mazingira bwawa la Nyerere, sasa Rufiji inazama, serikali ifanye tathmini ya mazingira sasa

    Sio mara ya kwanza kwa Rufiji kukumbwa na mafuriko pindi mvua zinapokuwa juu ya wastani fatilia huko nyuma utabaini kumbuka Rufiji ni bonde
  10. K

    Hayati Magufuli kukataa kufanya tathmini ya mazingira bwawa la Nyerere, sasa Rufiji inazama, serikali ifanye tathmini ya mazingira sasa

    Mafuriko ya Rufiji hutokea siku zote mvua zikizidi wastani maana ni bonde hapo nyuma pia yamewahi kutokea mafuriko tuache porojo
  11. K

    Mbunge wa Gairo, Shabiby ataka fedha za bima kwa wote zikatwe kwenye laini za simu

    Hakika hili suala la bima kwa wote linahitaji akili kubwa maana regressive tax huwa ni mzigo mzito kwa wenye kipato duni au wasio na kipato na kingine kwa ufanisi upi serikali inaweza simamia hayo makusanyo maana kama hapo awali pesa zimechotwa kwenye mfuko (NHIF) na hazilipwa mpaka leo...
  12. K

    Mbunge wa Gairo, Shabiby ataka fedha za bima kwa wote zikatwe kwenye laini za simu

    Huo ufanisi wa kumudu kuendesha huo mfuko kwa ufanisi utakuwepo? Maana CAG anaeleza kwenye ripoti yake kuwa serikali imekopa pesa nyingi kwenye huu mfuko mpaka leo hii haijarejesha sasa tuendelee kuamini serikali haitarudia madudu iliyofanya huko nyuma kuchukua pesa za mfuko? Kingine kwanini...
  13. K

    ATCL, Reli ya Kati, TAZARA na SGR tuwape wanaoweza kuendesha kwa ufanisi mapema kabla ya kuumizwa

    Uko sahihi jinsi Watanzania na serikali ilicyo ni bora utaratibu ukafanyika hivyo maana huko mbeleni itakuwa majanga serikali haina ufanisi wa kuendesha shirika lofoten la biashara na likapata na likatoa huduma kwa viwango ni bora kuwahi sasahivi tumeona mwendokasi, Tazara, TTCL, shirika la...
  14. K

    Waziri Mchengerwa aipiga stop Kampuni ya Nyanza Road Works LTD isipewe kazi tena Serikalini

    Sio kazi wala wajibu wa waziri kusitisha/kukatisha mkataba wa mkandarasi maana upo kisheria na taratibu za kusitisha mkataba zipo ndani ya mkataba utaratibu huu hupelekea serikali kushtakiwa kutokana na kukiuka mkataba na kupelekea hasara chonde mawaziri hebu punguzeni mihemuko. Mikataba ya...
  15. K

    Ni aibu kwa Serikali kwa Mashirika ya Umma karibu yote kupata hasara

    TTCL walipaswa kuwa mbele ya muda na wangekuwa mbali sana hasa kwenye hudum ya Internet kiukweli kwasasa Internet sio anasa tena bali huduma ya muhimu kama sio lazima wangejikita kuboresha huduma zao kila mtu angependa kuunganishwa nao. Tatizo linaanza mpka wakupatie huduma hiyo lazima usote...
  16. K

    Kuna uwezekano Serikali ya Samia imeishiwa hela. Wakandarasi hawajalipwa ndani ya nusu ya mwaka wa Serikali

    Inabidi wakulipe na riba kwa mujibu wa sheria ukitazama 'clauses' za mkataba lazier zitakuwa zimeeleza kuhusu hilo maana haipaswi kuzidi siku 20 toka umeomba malipo ikizidi hapa unayo haki ya kuwadai riba kwa muda waliokucheleweshea.
  17. K

    Kuna uwezekano Serikali ya Samia imeishiwa hela. Wakandarasi hawajalipwa ndani ya nusu ya mwaka wa Serikali

    Navyoandika hapa naelewa uhalisia wa mambo sio kwamba nimesimuliwa hakuna cha madeni wala nini pesa hazipo huo ndo uhalisia miezi 8 imekatika wakandarasi hawajalipwa kazi zilizofanyika mwaka jana hata wanaofanya kazi kwa sasa hakuna dalili za kulipwa huo ndo ukweli tuache siasa kwenye uhalisia.
  18. K

    Kuna uwezekano Serikali ya Samia imeishiwa hela. Wakandarasi hawajalipwa ndani ya nusu ya mwaka wa Serikali

    Hili ni kweli hazina kumekauka kau miradi haina pesa licha ya mafungu ya bajeti kupitishwa wakandarasi wengi wanalia njaa toka mwaka jana hakuna malipo ukifanya kazi na Serikali kwa sasa yakupasa uwe makini sana vinginenvyo kama ungaunga mwana hakika unafunga biashara. Sio Tanroads wala Tarura...
  19. K

    Tuweke ushabiki pembeni, ukweli ni kwamba Rais Samia ameshindwa kazi ya urais

    Yani hili nalo tatizo kubwa kazi wanataka zifanyike tena wanakupiga pressure ya hali ya juu na vitisho juu kuwa watampa mtu mwingine kazi kimbembe ukija kwenye malipo utawekwa pending mpka ujute kiufupi kufanya kazi na serikali kwa sasa unahitaji kujiuliza mara mbili mbili maana malipo utasubiri...
Back
Top Bottom