siku hizi mashine ya kusaga unga na mchele nayo inaitwa kiwanda......si zamani tulikua tunaita "mashineni"...............leo ni kiwandani?? Lahaula lakwataaaaa
siku hizi mashine ya kusaga unga na mchele nayo inaitwa kiwanda......si zamani tulikua tunaita "mashineni"...............leo ni kiwandani?? Lahaula lakwataaaaa
Lizaboni kweli umechanganikiwa, nakupa mapungufu ya kipumbavu nilioyaona kwenye bandiko lako...nachelea kusema ya kipumbavu kwa sababu ni ya kipumbavu hujayapa makalio yako nafasi ya kufikiri;-
1.Revolution ni mapinduzi...lakini neno mapinduzi halilengi katika kuondoa tawala tu!!!, Tazama mambo...
Hilo ndio la msingi...maana kwa uhalisia.....kama yule bwana hakulipwa 70% maana yake...documents zilikuwa directed to bank......., ili atakapolipa hiyo 70% bank wam-release hizo dicuments.
sasa hapa mawili;-
1. Either jamaa aliongea/aliaminiana na bank, wakampa pasipokupokea hiyo 70%, ili awape...
We jamaa....msiwe mnakurupuka kusema kama taratibu hamzijui....kwanza tu, elewa;- Kupata port charges (include port storage) lazima hizo hatua ikiwepo ku-surrender "original BL" zimeshafanyika. Sasa kama alicheza michezo akaweza kuzunguka kuipata hiyo BL..hilo halituhusu...ila elewa...huwezi...
hebu tuambie list ya mafisadi walioko CCM kwa sasa ili wakihama tuwajue!!! Maana wakiwa kwenu...CCM safi, wakihama ...ooh mnachukua mafisadi. Tupe list ya mafisadi ambao bado mko nao..............
1......
2.....
3.....
.
.
.
.
.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.